FFU wa Ngoma Africa Band wamekinukisha ! AFRIKA-MESSE, Bremen Ujerumani




Ngoma Africa band Live Bremen,Afrika-MesseNgoma Africa band Live Bremen,Afrika-Messe
FFU waelekeza pa kushambuliaFFU waelekeza pa kushambulia
ffu wakiwa na mitutu yaoffu wakiwa na mitutu yao
ffu walipotua BremenFFU walipotua Bremen
kamanda Ras Makunja akiipanga safu ya FFUkamanda Ras Makunja akiipanga safu ya FFU
Wakina mama ndio waliokua mstari mbele ktk gwaride la FFUMashabiki wa Ngoma Afrika wakiserebuka mjini Bremen
********
KIKOSI kazi cha Ngoma Africa Band iliyozoeleka kwa tabia zake za kupagawisha washabiki wa muziki ughaibuni, Jumamosi ya 15.9.2012 Ngoma Afrika walifanya kweli katika maonyesho makubwa ya biashara ya Afrika-Messe, mjini Bremen,kule Ujerumani. Bendi hiyo maarufu ilipanda jukwaani na  kufanikiwa kuziteka nyoyo za washabiki kwa mara nyingine tena kwa kuwadatisha akili na muziki wenye raha kamili.
CD za bendi hiyo zimekamata nafasi ya juu katika vituo mbali mbali vya Redio ndani na nje ya Ughaibuni,baadhi ya vituo vya radio zikiwamo Redio maarufu nchi Ujeruamani Radio Funkhaus Europa na Radio  Mult-Kult ndizo zinarusha kwa fujo nyimbo za Ngoma Africa band, inayoongozwa na kamanda Ras Makunja wa FFU.Unaweza kuwasikiliza pia katika kambi yao at http://www.ngoma-africa.com au www.ngoma-africa.com
Picha zote na Msemakweli wa NGOMA AFRIKA, Ujerumani


Responses

0 Respones to "FFU wa Ngoma Africa Band wamekinukisha ! AFRIKA-MESSE, Bremen Ujerumani"

Post a Comment

 

Recent Comments

Popular Posts

Return to top of page Copyright © 2010 | Platinum Theme Converted into Blogger Template by HackTutors